MTV Radio Jioni

Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo imejiunga na mataifa mengine kusherekea siku ya wafanya kazi Duniani, huku wafanya kazi wa serikali wakilalamikia hali mbaya ya kiutu na malipo Duni.

Taarifa Zaidi na mgomo wa polisi katika Mji wa Uvira Kivu Kusini

MEI 01, 2025
Border

| Germaine Hassan Kyahwere

Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV Radio

Rudi kwenye Radio