Serikali ya Tanzania imeahidi kuendelea kuboresha miundombinu ya usafiri na usafirishaji wa abiria na mizigo katika Ziwa Tanganyika ikiwemo ujenzi wa meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 3500.
JUNI 03, 2025
| Jean-Paul Sean
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio