Raia wa kabila la wambuti nchini DRC waomba serikali ya Kinshasa yake Felix Tshisekedi kushirikishwa katika michakato mbali mbali ya amani na usalama pamoja na maendeleo nchini DRC.
JUNI 05, 2025
| Tryphone Odace
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio