MTV Radio Jioni

Mjini Goma malumbano na hoja ya endeleya kati ya Waasi wa AFC/M23 na MONUSCO huku mikutano ya mabishano ikiendeleya kuhusu uwepo wa MONUSCO katika eneo linalo sibitiwa na AFC/M23

JUNI 13, 2025
Border

| Jean-Paul Sen Sikiminya

Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV Radio

Rudi kwenye Radio