Hali ya rudi Tulivu katika Mji wa Bukavu Kivu Kusini baada ya mappigano na mashambulizi ya wapiganaji wazalendo kushambulia ngome nyingi za waasi waa AFC/M23 ambao wame weka serikali yao kivu Kusini na Kaskazini.
JUNI 18, 2025
| Abel Tsongo
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio