MTV Radio Jioni

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameitaka Tume ya taifa ya mipango kuimarisha mifumo ya tathimini na ufuatiliaji ili kuhakikisha inazingatia mshikamano wa ngazi zote ikiwemo sekta za umma na binafsi.

JULIA 18, 2025
Border

| Jean paul

Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV Radio

Rudi kwenye Radio