Lubero Kivu Kaskazini, mashirika yenyi kutetea haki za biaadamu yaomba serikali ya Jamhuri ya kidemokraisa ya Congo kuwakamata na kuwapa malipizi watu wote walio husika katika ubakaji wa wanawake katika Vijiji Mbali mbali wilayani Lubero eneo linalo dhibitiwa na serikali
JUNI 23, 2025
| Thomson
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio